Rapcha - Melody

Copied!edit Lyrics
original text at lyrnow.com/1054213
Na hii baridi ningekuwa na ye

Ningemkumbatia nkimwimbia nyimbo nzuri za mapenzi all day

Nimueleze kuwa maisha yangu yote yaliyobakia kwenye hii dunia ningependa niishi na ye

Na hii baridi i would like you to hold me

Tell me unanifeel na sio kuniletea story

Kila kitu unacho we you control me

Niambie the way you feel, baby boy mi i’m on it

Na hii baridi tungewatch movie
Ndani ya dakika ghafla tuko naked kinawaka like a movie

Tukiwa high kwenye good doobie

Champagne we sip and kiss

Hot water kwa jacuzzi

Na hii baridi Yani I can't explain

Mi mtu wa misele ila kwa hii mvua ningekaa ndani ntulie

Nimpikie kisha nimpakulie

Nile nishibе alafu nguvu zangu zote kwake nikammalizie

Na timе hii ningemfanya shuka

Nimfunike nikimpapasa body yake mpaka kunakucha

Nimpanguse kama taulo kuanzia chini Hadi juu

Nimpitishe ulimi mwili mzima ka namchora tatoo

Bridge
Kwake sikufall in love

Nili-rise juu

Hata ka ni gangsta kwake nitakua romantic tu

And I ain't for the low package

Nmechagua kuishi nae kwa mazuri na mabaya yake

Chorus

Hey baby

Unanitesa daily

Kichwani kwangu kama melody baby

Nahofia nkikukosa maana

We ndio unanikosha

Oh no!

Pa pa mpararaampa
Pa pa pa mpa mpa mpararampampa


Verse Two!

Nawaza kama kuna life after death basi nothing can do us apart

Sounds like a wedding vow, i like that

Kita..

STOP!!

Tungezima taa

Alafu uride fasta kama vile break imekataa

Kukuwaza tu napatwa goosebumps

Babe Haya mambo ya kugombana sio

Kumbukumbu yananirudia matukio ya hapa ndani tunavyoshindaga zaidi ya siku tatu bila nguo

I think i miss you

A little bit jealous nawaza ka uko na mi tu

Should i tex you!? Nah nitaku-mind tugombane tu

I think I’m not the only one you’ve been dealing with

But im sure we can fix this

Nitaacha Ego nimpigie nimwambie nimemmiss

Maana siku itaisha vipi sijaongea nae

Sijaona cha kunieka mbali nae

Kwake siku-fall in love

Nili-rise juu

Hata ka ni gangsta

Kwake nitakua romantic tu

And I ain’t for the low package

Nimechagua kuishi naye kwa mazuri na mabaya yake

Chorus

Hey baby

Unanitesa daily

Kichwani kwangu kama melody baby

Nahofia nkikukosa maana

We ndio unanikosha

Oh no!

Pa pa mpararaampa

Pa pa pa mpa mpa mpararampampa
 
0

Song Description:

edit soundcloud

SoundCloud:

edit soundcloud

More Rapcha lyrics

Rapcha - Umefanana nae
Baby today Lemme talk you Kwakua nakupenda sana ni salama sana ujue the truth Please vumilia utasahau na ili mimi niwe free leo nita comfess tu Ex wangu umefanana nae sana yani

Rapcha - TwoFiveVibes Freestyle 4
Speaking of me nshakataa kuwa normal Kabla hujamiliki gari jua kuendesha akili na mdomo So Wakileta ujuaji tunawalia michuno Afu kinachofata ni mikuno ka Fernandez Bruno! NYIE

Rapcha - Kisanga Freestyle
Jana njaa imenipiga nusu kuniua Sema getto hamna Friji ningepata hata Ka juice unajua Baisa Aliacha buku mezani Nikasmile kisha nkajivuta kwa muha Nipate japo hata vitumbua

Rapcha - Drama Freestyle
Tuliambizana tusishike simu za wapenzi tuaminiane We ulienda kushika ya nini Aliiacha kidogo akaingia bafuni afu akasahau kupiga lock Dah hata mimi ningeitupia jicho naamini

Rapcha - Amen
{Verse I: Rapcha} Uh hebu tazameni Matendo ya Mungu yanavyotisha Amefanya mengi makubwa ya kustaajabisha Marafiki leo wana upendo kesho umekwisha Ila upendo

Rapcha - Vunga
Chorus: Fanya kama hujaniona Fanya kama hujaniona Tukiumana kona Fanya kama hujaniona' ka una pigo za kiree, Basi' Yeah *Blaq>>Blaq* Fanya kama

Rapcha - Majani
M. A. J. A. N. I (Majani) M. A. J. A. N. I (Majani) M. A. J. A. N. I (Majani) Verse 1 1996 yeah i started running this game Nkakiwasha and

Rapcha - Go Rapcha
Kwa Heshima ya getto Nyoosha ngumi juu Onetime (yes) Up Up Up Breaking News Kituo Cha polisi kimevamiwa (yes) Up Up Up (Say whaaaat)

Rapcha - Goo Rapcha
Kwa Heshima ya getto Nyoosha ngumi juu Onetime (yes) Up Up Up Breaking News Kituo Cha polisi kimevamiwa (yes) Up Up Up (Say whaaaat)

Rapcha - Unaua Vibe Remix
Ametinga kinoma Mwache acheze ajimwage (Femi uno) Tinga kinoma Dj tena idondoshe Verse 1 Nikapatana na mchizi Akanishow