Rapcha - Unaua Vibe Remix
Mwache acheze ajimwage
(Femi uno)
Tinga kinoma
Dj tena idondoshe
Verse 1
Nikapatana na mchizi
Akanishow vile ameomoka
Nikamshow basi alipe bill tukiondoka
Kwanza sikuamini ile mtaa anapotoka
Saa za mechi mi nacheki jo boxer imetoboka (wuuuh)
Haina issue nikaona wacha nimpe vitu
Nikavua mini ndio acheki ka see through
Leo kiuno nitampea na mchezo wa kati tu
Lakini nashindwa wapi mti kwenye huu msitu? (Wuuuh)
Ikiwa hawezi amsha nikaona wacha tulale
Labda mida yake masaa yatadunga mshale
Masaa yake naskia ninaguswa mgongoni
Kumbe Dah sio mchizi ni bonge la kunguni
Chorus: Rapcha
Aisee unaua vibe unaua
Unaua vibe unanikata stimu
Unaua vibe unaua
Unaua vibe unanikata stimu
Unaua vibe unaua
Unaua vibe unanikata stimu
Unaua vibe unaua
Unaua vibe unanikata stimu
Verse 2. Rapcha
Kaniona fresh akaja race
Nikupe company!? mi nikasema yes
Kaniomba hug tu mi nikaona sio kesi
Harufu ya kwapa dada mbona sio fresh?
Ukinigea chuna usiniletee noma
Tunachat utamu una screenshot, we koma
Najipenda kinoma usiniletee homa
Yani tumepona ma-corona uniletee ngoma
Mademu wa mjini kavu muulize brother babuu
Tumia kinga ukishaona kachora ng’e tattoo
Ukidata fasta na make up itakucosti
Akinawa uso inabaki sura ya passpoti
Chorus
Aisee unaua vibe unaua
Unaua vibe unanikata stimu
Unaua vibe unaua
Unaua vibe unanikata stimu
Unaua vibe unaua
Unaua vibe unanikata stimu
Unaua vibe unaua (eh)
Unaua vibe unanikata stimu
Verse 3. King Kaka
Nishapata dem juzi namarinate kejani
Kaniguarantee doshi inadoz ndani
Pilka pilka ya kuteremsha toja
Boy wangu kwa mlango anagonga
Anyways ni Friday nimelipa
Na kuna dem flani nimealika
Uchi hata CD nimevaa
Niko ready kucum anadai….ah ah
Juzi tu si nimepiga kura
Washaingia ofisini ni pesa wanakula
Washauza nchi sasa watakinda nini
Ni sisi yaani nyinyi, wajinga nyinyi
Outro
Unaua, unanikata stimu
Unaua, unanikata stimu
Unaua, unanikata stimu
Unaua, unanikata stimu
Ametinga kinoma
Mwache acheze ajimwage
Tinga kinoma
Dj tena idondoshe
Song Description:
edit soundcloudSoundCloud:
edit soundcloudMore Rapcha lyrics
Rapcha - Nitakucheki
Rapcha International waoneshe Verse 1 Kama umenikosha hivi Siwezagi kuzama simple Usione umenishika akili Usije ukajidanganya
Rapcha - Kama Unae
Kama unae Kama unae kama unae Kama unae mmoja mposti Kama unae kama unae Kama unae mmoja mposti Verse 1. (Rapcha) Babe tuna-match hawagusi Staki
Rapcha - Tunajimwaga
Yea yea yeah yeah Verse 1 Hii sound ndio wana wanaipenda Popote wana-vibe wanacheza Show me now kama you can dance Onesha ka unafeel hii
Rapcha - Lissa
Saa Sita Mchana jua la utosi Chuo Boom limetema Nimekaa Kibosi hata presha ya msosi sina Prr somebody's calling, Ooh Kumbe Lissa Nimemsave Love Of My Life
Rapcha - Lissa 2
Eugen sogea karibu kidogo Kabla sijakata pumzi ya mwisho tuongee japo kidogo Enjoy kila siku iendayo kwa Mungu Kwenye maisha ya mwanadamu siku za furaha huwa ni
Rapcha - Mungu Na Masela
Chorus: Rapcha Maskani tukipita wakaniona Roho zao zinawachoma Hawataki Nidake Salio “Namba” Wame-tight kila kona Verse. 1
Rapcha - Amen Remix
Verse 1: {Rapcha} Nilipohisi upweke kwenye moyo na mawazo kunichakaza Wanadamu nikawaomba msaada wakanitangaza Nikainua macho kwako, Ukaniambia
Rapcha - A.D.E
Verse 1 : {Rapcha} I had a dream last night Nipo kwenye mansion Shytown, blazing skunk Feeling so fresh 99 lifestyle A.D.E (All Day
Rapcha - 48 Bars Freestyle
Mwana ananiuliza kuhusu Ye na kim Ye mwenyewe haelewi kuhusu ye na kim Utapoteza focus kwa maisha ya simu Usibebe vitu road we tembea na stimu On top of
Rapcha - Bado
Sjui nakosea wapi, show me how to love Labda Nina upendo mwingi pesa chache, that’s all i have Hata Nikikupa zawadi ndogo fanya kuithamini Coz you give what you love
YouTube
Rapcha
![Rapcha](/img_id/132002.jpg?salt=19)