Rapcha - Kama Unae
Kama unae kama unae
Kama unae mmoja mposti
Kama unae kama unae
Kama unae mmoja mposti
Verse 1. (Rapcha)
Babe tuna-match hawagusi
Staki kuvaa tena nuksi
Kucheat sasa nukta
Tunashare perfume hata nikikucheat harufu inanisuta
Post mpaka wakublock, huh! Safi!
Kama hawana bundle wasaidie WiFi
Wana jealous kuona sipepesi kwako
Na we sio mwepesi, me i love nobody but you
You and I tu, sina option
Onesha kama unae mmoja weka caption
Watu hata ukijificha watakuchimba
Kama unae mmoja utamlinda
Bridge - Kid Golden
Honey ukinimiss we ni-text
Ama video call coz I’m here for you
Washakunaku wakiku-test
Nipost kila time waboreke tu
Chorus
Kama unaе
Kama unae kama unae
Kama unae mmoja mposti
Kama unaе kama unae
Kama unae mmoja
Oooh aaah waoneshe
Vile ulivyo bomba wakomeshe
Oooh aaah waoneshe
Vile ulivyo bomba wakomeshe
Love, kwanza hawatuvishi unajua
Na wala hatuli kwao wanajitia kutujua
Mi sina story zao ila za kwetu wanajua
Si wanaweza na wao yanini kutusumbua!?
Sasa, Tutaenda beach mida ya sunset
Waalike marafiki kwenye engagement
Na kila tukio picha zitahusu
Tumwogope nani umri unaruhusu
I’m so proud of you, let them know that
Look how you are beautiful, oh my God!
Nahisi ndio naanza ku-date for the first time
Siko late, and I’m very glad that you’re mine
Bridge : Kid Golden
Honey, wadada wengi wananicheck
Nawaambia hapana mi wako tu
Kabisa nimeweka break
Gari imezimika kwako tu
Kama unae
Kama unae kama unae
Kama unae mmoja mposti
Kama unae kama unae
Kama unae mmoja
Oooh aaah waoneshe
Vile ulivyo bomba wakomeshe
Oooh aaah waoneshe
Vile ulivyo bomba wakomeshe
Song Description:
edit soundcloudSoundCloud:
edit soundcloudMore Rapcha lyrics
Rapcha - Umefanana nae
Baby today Lemme talk you Kwakua nakupenda sana ni salama sana ujue the truth Please vumilia utasahau na ili mimi niwe free leo nita comfess tu Ex wangu umefanana nae sana yani
Rapcha - TwoFiveVibes Freestyle 4
Speaking of me nshakataa kuwa normal Kabla hujamiliki gari jua kuendesha akili na mdomo So Wakileta ujuaji tunawalia michuno Afu kinachofata ni mikuno ka Fernandez Bruno! NYIE
Rapcha - Kisanga Freestyle
Jana njaa imenipiga nusu kuniua Sema getto hamna Friji ningepata hata Ka juice unajua Baisa Aliacha buku mezani Nikasmile kisha nkajivuta kwa muha Nipate japo hata vitumbua
Rapcha - Drama Freestyle
Tuliambizana tusishike simu za wapenzi tuaminiane We ulienda kushika ya nini Aliiacha kidogo akaingia bafuni afu akasahau kupiga lock Dah hata mimi ningeitupia jicho naamini
Rapcha - Amen
{Verse I: Rapcha} Uh hebu tazameni Matendo ya Mungu yanavyotisha Amefanya mengi makubwa ya kustaajabisha Marafiki leo wana upendo kesho umekwisha Ila upendo
Rapcha - Vunga
Chorus: Fanya kama hujaniona Fanya kama hujaniona Tukiumana kona Fanya kama hujaniona' ka una pigo za kiree, Basi' Yeah *Blaq>>Blaq* Fanya kama
Rapcha - Majani
M. A. J. A. N. I (Majani) M. A. J. A. N. I (Majani) M. A. J. A. N. I (Majani) Verse 1 1996 yeah i started running this game Nkakiwasha and
Rapcha - Go Rapcha
Kwa Heshima ya getto Nyoosha ngumi juu Onetime (yes) Up Up Up Breaking News Kituo Cha polisi kimevamiwa (yes) Up Up Up (Say whaaaat)
Rapcha - Goo Rapcha
Kwa Heshima ya getto Nyoosha ngumi juu Onetime (yes) Up Up Up Breaking News Kituo Cha polisi kimevamiwa (yes) Up Up Up (Say whaaaat)
Rapcha - Unaua Vibe Remix
Ametinga kinoma Mwache acheze ajimwage (Femi uno) Tinga kinoma Dj tena idondoshe Verse 1 Nikapatana na mchizi Akanishow