Rapcha - 40 Missed Calls
Someone is playing with me
Kuna mtu ananichezea
Someone is playing with me
Nashuka kiuchumi ndoa yangu inachafuka
Kuna mchezo unaendelea they are playing with me
Muda mchache kwenye ndoa maumivu yamenizidia
Huu ni mwezi wa tano unaingia
Nkitazama muda ni Saa sita usiku, baada ya kumtafuta sana huyu mwenzangu ndo nyumbani anaingia
Niambie umetoka wapi Salma
Hii kesi isidingo si tumetoka kuisolve jana
Isingefika 40 missed calls ka ulikua kwa mama
Nakuambiaga huniheshimu Salma unanidharau sana
Story zako mjini naambiwa
Hamna kitu kinaniuma kama habari kwamba mi namegewa
Unanipandisha hasira navokuambia ukweli afu unanijibu kwa kufoka kama unaonewa
Hebu Leta simu yako, fungua!!!
Salma usinipandishie, icho kiburi chako ntakupasua
Naichukua nianze kuipekua akaja kuikwapua
Akili ikaflip, gun nkanyanyua
Salma Kanijia juu, Nimechoka maisha ya kubaniwa
Bora tu tuachane umezidi kunitishia
Story za malaya wako nikikuambia unajifanya mkali
Kama we kidume fyatua..
Gun shots!!
★ Chorus: Vanilla ★
Nilikupenda mpaka kufuru nikawa nawaza jidhuru ukiwa mbali
Tena nikakupa uhuru na ukashindwa shukuru ikawa ndo dosari
Ukaenda ku date na wale
Mi wakuwa nasota we ule
Na mie kukuacha siwezi
Ni bora dunia tuiache aah
★ Verse 2: Rapcha ★
Fahamu zinarudi akili imeduaa
Salma anateseka chini baada ya risasi nne kumvaa
Hofu kubwa inaniingia nikiangalia
Damu yake inavyonililia chini inatapakaa
Ndo Idea ya kukamatwa ikanijia
Nikajua haitopita muda mapolisi watanitimbia
Ila nguvu zote zishaniishia
Nikiumia kuona safari yetu ya mapenzi ilipokwamia
Dhambi inaanza kunitafuna
Natamani nirudishe muda nyuma niongee na Salma
Najiona mnafki kwa kumwaga damu kwa makosa ambayo moyoni najua kuwa na mimi nafanya
Itanitesa maisha yangu yote hii memory
Ego zetu zimefanya tumeharibu destiny
Vita na Insecurities hakukuwa na honesty
Na loyalty marafiki wakatunyima privacy
Litimie agano
Nahisi Mungu ametuchagua mi na wewe tuwe mfano
Salma, hukustahili hii adhabu ninakiri
Naomba kabla haujafika mbali nisubiri
Gun shot!!
★ Vanilla ★
Roho yangu inauma
Kosa lako kuzichezea hisia zangu
Inamaana hukuona
Nilivyopambana kuziheshimu hisia zako?
Aaah
★ Chorus ★
Nilikupenda mpaka kufuru nikawa nawaza jidhuru ukiwa mbali
Tena nikakupa uhuru na ukashindwa shukuru ikawa ndo dosari
Ukaenda ku date na wale
Mi wakuwa nasota we ule
Na mie kukuacha siwezi
Ni bora dunia tuiache aah
Song Description:
edit soundcloudSoundCloud:
edit soundcloudMore Rapcha lyrics
Rapcha - Low
{Verse 1} You that i wanna be, I wanna be Tuwe mommy na dady someday Baby, Mi I’m not gonna be Not gonna be flani ataekuweka upset
Rapcha - Narudi Home
Olemhola coz i miss you mommy Olemhola coz i miss you mommy Olemhola coz i miss you mommy Niko alright but i miss you mommy {Verse 1}
Rapcha - ShyTown
Shy town what’s poppin {chorus} Oya mi natoka shytown mambo ya beaches i don’t know Beach mi nimezikuta dar Town kuna mishe i don’t know
Rapcha - It’s Okay
{Verse 1} Nlipokucheck kwa phone Hata nikuone simu ulikua huzioni Trying to reach you ila unanikimbia nkaanza kudata alone Father anasema son unaisha
Rapcha - 40 Missed Calls
{Verse 1: Rapcha} Someone is playing with me Kuna mtu ananichezea Someone is playing with me Nashuka kiuchumi ndoa yangu inachafuka
Rapcha - Fungua
Oya mwanangu vipi? 99 mwanangu Mbona kinyonge? Ahhh hamna ishu wala nini Ndo shida hiyo ya kubetia team msizozijua hahah Ahh sio kubet
Rapcha - Enjoy
{Intro} 99 everything Last king {Verse 1} Oya Moko moko yes au vipi? Tujiachie ka hatuna kesi au vipi? Pakizidi
Rapcha - Tunasafiri
Huture where are you at? {Verse 1} Oya twende tukadake bomu Das Das wanangu inabidi tujichange Chap tukadake na misosi Hela ka
Rapcha - Uongo
{Verse 1} Ndani ya dakika mbili nafika hapo usichoke no usichoke Ndani ya siku ka mbili nakupeleka shopping mall usikonde Ndani ya wiki ka mbili kuna hela
Rapcha - Tikitakatuku
{Chorus} Tiki tiki taka tuku My head spinning like Everytime uki’pull up my head goes like Tiki tiki taka tuku Unanivuruga