Msomali - Ni wewe

Copied!edit Lyrics
original text at lyrnow.com/2061969
J4D sound
Ah Vitamin ooohh
Adasco m2 Baaad

Chorus
Ni wewe unaenifanya nijisikie nipo juu kwenye hii dunia
Ni wewe unaejua mpenzi wako sina pesa unanivumilia
Ni wewe unaenifanya nijisikie nipo juu kwenye hii dunia
Ni wewe unaejua mpenzi wako sina pesa unanivumilia
Oya
Maisha bila wewe mi siwezi, maisha bila wewe hakuna maisha
Maisha bila wewe mi siwezi, maisha bila wewe hakuna maisha

Verse
Oya
Usitamani mali zao, wavuta shisha achana nao
My wee usitamani maisha yao, na ipo siku nitakuwa kama wao
Yala ooh napenda ukicheka mda wote unavyonikonyeza
Napenda ukicheka macho unavyolegeza
Napеnda ukicheka mda wote unavyonikonyeza
Napеnda ukicheka macho unavyolegeza
Wewe ndio langu chaguo, kwako wewe nimeweka kituo
My ooh langu chaguo, kwako wewe nimeweka kituo
Mapenzi ni kuvumiliana, nami mpenzi unanivumilia
Mapenzi ni kuvumiliana, nami mpenzi unanivumilia
Chorus
Ni wewe unaenifanya nijisikie nipo juu kwenye hii dunia
Ni wewe unaejua mpenzi wako sina pesa unanivumilia
Ni wewe unaenifanya nijisikie nipo juu kwenye hii dunia
Ni wewe unaejua mpenzi wako sina pesa unanivumilia
Oya
Maisha bila wewe mi siwezi, maisha bila wewe hakuna maisha
Maisha bila wewe mi siwezi, maisha bila wewe hakuna maisha

**#verse 2**
Mahaba kibao hapa, mapenzi ndio kwako
Usiache mbachao kwa msala upitao
Baby unataka nini nikupe, niambie
Vyenye uwezo na mimi nitakupa mamae
Baby unataka nini nikupe, niambie
Vyenye uwezo na mimi nitakupa mamae
Unapohitaji nyimbo nzuri nakuimbia
Unapotaka kuondoka nakukumbatia
Unapohitaji kucheka, nami nacheka pia
Oohh, minacheka pia
Mapenzi ni kuvumiliana, nami mpenzi unanivumilia
Mapenzi ni kuvumiliana, nami mpenzi unanivumilia

**#outro**
We wanangu wa kusini moja, kucheleeee
Wee tajiri vunjaa bei
From Keko Funiture
Asandee, shaii dad
Awe god nyaucstar
Kima, a we mwanangu masoz
De smart Dash Papi
Aahh Msomali hapa
Oohooh Adasco Adascoo
---

Please make sure the lyrics are complete and accurate before submission, and confirm any specific formatting requirements with Musixmatch
 
0

Song Description:

edit soundcloud

SoundCloud:

edit soundcloud

More Msomali lyrics

Msomali - Nenda dada
Nenda dada aaah,Nenda dada aaah Na engine ya pendo imefelii Kwa ulichonifanyia haki sio kweli Na engine ya pendo imefelii Kwa ulichonifanyia wala sio kweli Nenda dada

Msomali - Kwanini
Aaahh Msomalii hapa Nikiwa Sambamba Na Wee Mushizo utawauwa Hasa kwanini kwanini Hutaki kutoka Na mimi HAsa kwanini kwanini Hutaki kutoka Na mimi Hasa kwanini

Msomali - Unitaki
Future Pacheko midundo Vitamin Music forever Inaama ndio unitakii (nalia mama aah) Sms huzionii (nalia mama aah) Simu haupokeii (nalia mama aah) Naukipokea

Msomali - Ni wewe
J4D sound Ah Vitamin ooohh Adasco m2 Baaad Chorus Ni wewe unaenifanya nijisikie nipo juu kwenye hii dunia Ni wewe unaejua mpenzi wako sina pesa unanivumilia Ni