Lady Jay Dee - Kupendwa Raha
Hold my hand
Babylon Bizzy
Okay, yo
Uh, uh
Jaydee
★ Verse 1: Lady Jaydee ★
Kupendwa raha bana
Hata mikunjo kunjo kwa sura imeisha
Na tabasamu la nivisha ujana, ah
Kwa raha ya penzi bwana
Nakuona kama maji ya bahari kwa mwili
(?) Ari na shai kwa penzi, eeh
Mi nimekuwa mwepesi kwako
Kusema "nakupenda wewe"
Kwa hapo zamani hili neno kusema ni mpaka niwe high, high, high, high
★ Pre-Chorus ★
Kwako niko huru, sijihami
Niko huru, huru
Nishike mkono
Nivushe ng'ambo nyingine
Nivushe, oh
Nishike, oh
Tufike, oh
Pamoja
Nishike mkono
Nivushe ng'ambo nyingine
Nivushe, oh
Tuvuke, oh
Tufike, oh
Pamoja
★ Verse 2: Mr. Blue & Lady Jaydee ★
Eh!
Yo
Nishike mkono, 'nikushike twende kando
Nikukoki kijeshi, we si Komando?
(He-he)
Bonge la penzi
Bonge la (?)
Usiku nzima hewani, 'tunamaliza bando
Kwako niko huru, sijihami
Niko huru, uu
Unanipa raha 'Bongo naiona Chicago
Unafanya wanga watulize kipago (Tuli)
Mahaba mengi kama mvua inayo churuzika
(Haa)
Bila ya Mungu kwenye jua tunge ★ kwaruzika ★
Leo tunatanua, nani wakuturudisha?
(Hii,iii,iii)
★ Pre-Chorus ★
Nishike mkono
Nivushe ng'ambo nyingine
Nivushe, oh
Nishike, oh
Tufike, oh
Pamoja
Nishike mkono
Tuvuke ng'ambo nyingine
Nivushe, oh
Tuvuke, oh
Tufike, oh
Pamoja
★ Chorus ★
Kupendwa raha bwana
Na nguo nikivaa, za kaa kwa mwili
Na raha sana usoni na rohoni
Kuwa nako penzi bwana, siku zaenda kasi na wala hazigandi
Thamani ya moyo na si ya mfukoni
★ Bridge ★
Kwako niko huru, sijihami
Niko huru, uuu
Nimependa, nawe umependa
Tuwe na amani
Kwako niko huru, sijihami
Niko huru, uuu
★ Outro ★
Nishike mkono
Nivushe ng'ambo nyingine
Nivushe, oh
Nishike, oh
Tufike, oh
Pamoja
Song Description:
edit soundcloudSoundCloud:
edit soundcloudMore Lady Jay Dee lyrics
Lady Jay Dee - Don't Give Up On Me
{Intro} Lalala Lalala, la Lalala Lalala, la Lalala Lalala, la Lalala Lalala, ooh {Verse 1} Please don't give up on me,
Lady Jay Dee - I Love Myself
{Intro} I love myself {Verse 1} Sina wa kunikwaza Nipo na wakuniliwaza Sijawahi kujidanganya, kujichanganya Najipenda kujiweka kwanza
Lady Jay Dee - Daladala
{Verse 1} Muda umepita, umenifanya nikae chini Nitafakari Kumbe ni mbali tumetoka Mmm Muda umepita, umenifanya nikae chini Nitafakari {Verse
Lady Jay Dee - Siku Hazigandi
Mmmh... Aiya yah yah yah yah yaah {Chorus} Yote mlosema, mlotenda nasahau Nasonga mbele Mangapi Yamesemwa mangapi nimeona Mmmh mliosema, aaah
Lady Jay Dee - I Found Love
I found love I found love Haya sio mapenzi this is magic I found love I found love Hata kueleza siwezi, this is magic Hizo I love you I love you too Tushavuka
Lady Jay Dee - Tangu Mwanzo
{Chorus: Lady Jaydee and Both} Tangu mwanzo Tangu mwanzo Kisa kilicho pelekea, mambo yote kuvurugika Visa tu vinajirudia, lakini kaa ukitambua Hii ni tangu
Lady Jay Dee - Chorus
Bongo, eh Bongo Dar-es-Salaam Utalia, lia, lia, lia Bongo Dar-es-Salaam Kaa chonjo, weh... Ndani ya Dar-es-Salaam Utalia, lia, lia, lia Bongo Dar-es-Salaam Kaa
Lady Jay Dee - Tufurahi
Mmm Nimeshachumia juani Nalia kivulini Silaha pesa mkononi Oh, yeah Biashara asubuhi, subuhi Mahesabu jioni Maswali ya nini? Hapa tuna toa,
Lady Jay Dee - Baby Love
{Intro} Mmm, baby love Baby love (?) Nishike baby love Niguse baby love Touch me, baby love Baby love Baby love Nishike baby love
Lady Jay Dee - Nyumbani
{Intro} (Daxo wa Chali) Unanipendezea nnapo tembea Ukitabasamu Mi napata raha, unanivutia ukiniangalia Dunia yangu 'ina kamilika Uwapo tu 'hapa
YouTube
Lady Jay Dee
![Lady Jay Dee](/img_id/294130.jpg?salt=04)