Zanzibar Taarab - Moyo Hausemezeki
Copied!edit Lyrics
Kwa kitu ukipendacho
Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Japo kiwe na hilakii
Kisichoridhisha macho
Japo kiwe na hilakii
Kisichoridhisha macho
Moyo utakishiriki ndilo kisichokuwa ndicho
Moyo utakishiriki ndilo kisichokuwa ndicho
Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Nimesema nawo sana nikaupa mahusio
Nimesema nawo sana nikaupa mahusio
Usiendekeze sana na mengi matamanio
Usiendekeze sana na mengi matamanio
Ujuwe neno hapana usikazanie ndio
Ujuwe neno hapana usikazanie ndio
Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Nitauwambia nini moyo unisikilize
Nitauwambia nini moyo unisikilize
Uwingiwe na imani machozi yasinilizie
Uwingiwe na imani machozi yasinilize
Wenye rai nambieni wazo lenu nisikize
Wenye rai nambieni wazo lenu nisikize
Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Nimesema nawo sana nikaupa mahusio
Nimesema nawo sana nikaupa mahusio
Usiendekeze sana na mengi matamanio
Usiendekeze sana na mengi matamanio
Ujuwe neno hapana usikazanie ndio
Ujuwe neno hapana usikazanie ndio
Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Moyo ni kitu chepesi rahisi kuridhika
Haupendi ni uhasi mara moja hukasirika
Hadi upate nafasi hapo utafurahihika Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Japo kiwe na hilakii
Kisichoridhisha macho
Japo kiwe na hilakii
Kisichoridhisha macho
Moyo utakishiriki ndilo kisichokuwa ndicho
Moyo utakishiriki ndilo kisichokuwa ndicho
Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Nimesema nawo sana nikaupa mahusio
Nimesema nawo sana nikaupa mahusio
Usiendekeze sana na mengi matamanio
Usiendekeze sana na mengi matamanio
Ujuwe neno hapana usikazanie ndio
Ujuwe neno hapana usikazanie ndio
Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Nitauwambia nini moyo unisikilize
Nitauwambia nini moyo unisikilize
Uwingiwe na imani machozi yasinilizie
Uwingiwe na imani machozi yasinilize
Wenye rai nambieni wazo lenu nisikize
Wenye rai nambieni wazo lenu nisikize
Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Nimesema nawo sana nikaupa mahusio
Nimesema nawo sana nikaupa mahusio
Usiendekeze sana na mengi matamanio
Usiendekeze sana na mengi matamanio
Ujuwe neno hapana usikazanie ndio
Ujuwe neno hapana usikazanie ndio
Moyo hausemezeki
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Kwa kitu ukipendacho
Moyo ni kitu chepesi rahisi kuridhika
Haupendi ni uhasi mara moja hukasirika
Hadi upate nafasi hapo utafurahihika
00
Song Description:
edit soundcloudSoundCloud:
edit soundcloudMore Zanzibar Taarab lyrics
Zanzibar Taarab - Moyo Hausemezeki
Moyo hausemezeki Kwa kitu ukipendacho Moyo hausemezeki Kwa kitu ukipendacho Japo kiwe na hilakii Kisichoridhisha macho Japo kiwe na hilakii Kisichoridhisha macho
YouTube
edit video