★ Intro: Lady Jaydee ★ Yeah Jaydee Woah, woah Mm-mh
★ Verse 1: Lady Jaydee ★ Ilikuwa mi nakuletea maringo Nayo majivuno niliweka mbele Sikuona umuhimu wako Nilihisi kelele Ulipo sema, unanipenda Mi nilipuuza Ulipo amua, kuondoka Nikaanza tapatapa, ooh Nimechelewa Huwezi kurudi tena Nashindwa hata kuelewa Nahitaji kueleweshwa Ooh, ooh Ooh, my baby
★ Chorus: Lady Jaydee ★ Sasa naona (Hey, hey) Umuhimu wako (Ooh, ooh) Wakati wewe 'uko mbali, mbali nami Nakumbuka maneno yako Natamani wewe ungekuwa nami Sasa naona Umuhimu wako (Ooh, ooh) Wakati wewe uko mbali, mbali nami Nakumbuka maneno yako (Kabisa) Natamani wewe ungekuwa nami ★ Verse 2: Lady Jaydee ★ Wasikia kilio changu, ’mbona u kimya? Sitarudia vituko, nitakuwa wako Nahitaji msamaha wako Unisamehe Ooh Nisamehe, unisamehe Kwanini wewе umeondoka? Mwenzio nina tapatapa Ooh Nimechеlewa Huwezi kurudi tena Nashindwa hata kuelewa Nahitaji kueleweshwa Ooh, ooh Yeah, ay, yeah, yeah
★ Chorus: Lady Jaydee ★ Sasa naona (Naona) Umuhimu wako Wakati wewe 'uko mbali, mbali nami (U mbali nami) Nakumbuka maneno yako Natamani wewe ungekuwa nami Sasa naona (Naona sasa) Umuhimu wako Wakati wewe uko mbali, mbali nami Nakumbuka maneno yako (Nakumbuka) Natamani wewe ungekuwa nami ★ Verse 3: Juma Nature ★ Ripoti hii ifike kwanza kwa dingi mpaka matheri (Mpaka matheri) (?) simu vingine mpenzi havina chaji (Havina chaji) Wanakuzuga navyo ili mradi wapate wanacho hitaji (Uh) Hao ni waongo wenye hila, washazoea ubakaji (Mama yangu) Nili-mind sana kuishi nawe, si uongo Kamwe siwezi kutanga, ni escape wadudu (Eh-enhe) Marafiki ndio wamekuponza, waongo, hawafai hata kwa chungu (Poa) Uliwaona wanacheka, zile ni njama za kukuteka Kimawazo hata kifikra Na sio wakukaribiana nao, waogope kama ukoma (Kama ukoma) Kwa maana hao jamaa wanafiki, hawafai (Poa) Wao wana wanacho taka (Poa) kutugombanisha tu (Poa) Nini kinakutatiza ushindwe kupiga hata stori (Eh-enhe) Nilikuambia "nakupenda" mtoto sogea karibu nami (Poa) Kukumbuka kuwaepuka majirani zako, watani Walio zoea kuvuruga ★ makochi ★ ya watu, hata wazima (Hata wazima)
★ Chorus: Lady Jaydee ★ Sasa naona (Yeah, yeah) Umuhimu wako (Ooh, ooh) Wakati wewe 'uko mbali, mbali nami (Uko mbali) Nakumbuka (Nakumbuka) Maneno yako (Oh, oh) Natamani wewe ungekuwa nami (Oh, woah, woah, woah, woah) Sasa naona Umuhimu wako (Umuhimu wako) Wakati wewe uko mbali, mbali nami Nakumbuka maneno yako (Umekwenda) Natamani (Umekwenda) Wewe ungekuwa nami Sasa naona (Woo!) Umuhimu wako (Yeah) Wakati wewe (Wewe, wewe) Wakati wewe ’uko mbali, mbali nami (Mbali, mbali, mbali) Nakumbuka Maneno yako Natamani wewe ungekuwa nami (Yeah) Sasa naona (Oh) Umuhimu wako (Oh, baby, baby, baby) Wakati wewe uko mbali, mbali nami (Oh, oh) Nakumbuka maneno yako (Ooh, oh) Natamani (Natamani sana wewe ungekuwa nami)
Lady Jay Dee - Siku Hazigandi Mmmh... Aiya yah yah yah yah yaah {Chorus} Yote mlosema, mlotenda nasahau Nasonga mbele Mangapi Yamesemwa mangapi nimeona Mmmh mliosema, aaah
Lady Jay Dee - I Found Love I found love I found love Haya sio mapenzi this is magic I found love I found love Hata kueleza siwezi, this is magic Hizo I love you I love you too Tushavuka
Lady Jay Dee - Tangu Mwanzo {Chorus: Lady Jaydee and Both} Tangu mwanzo Tangu mwanzo Kisa kilicho pelekea, mambo yote kuvurugika Visa tu vinajirudia, lakini kaa ukitambua Hii ni tangu
Lady Jay Dee - Chorus Bongo, eh Bongo Dar-es-Salaam Utalia, lia, lia, lia Bongo Dar-es-Salaam Kaa chonjo, weh... Ndani ya Dar-es-Salaam Utalia, lia, lia, lia Bongo Dar-es-Salaam Kaa
Lady Jay Dee - Tufurahi Mmm Nimeshachumia juani Nalia kivulini Silaha pesa mkononi Oh, yeah Biashara asubuhi, subuhi Mahesabu jioni Maswali ya nini? Hapa tuna toa,
Lady Jay Dee - Baby Love {Intro} Mmm, baby love Baby love (?) Nishike baby love Niguse baby love Touch me, baby love Baby love Baby love Nishike baby love
Lady Jay Dee - Nyumbani {Intro} (Daxo wa Chali) Unanipendezea nnapo tembea Ukitabasamu Mi napata raha, unanivutia ukiniangalia Dunia yangu 'ina kamilika Uwapo tu 'hapa
Lady Jay Dee - Lololo {Intro} This is (?) Mmm Don't cry (?) Komando Jide {Chorus: Lady Jaydee} Wacha we Lololo Wacha we, 'wacha hizo Wacha
Lady Jay Dee - Kupendwa Raha {Intro: Mr. Blue} Hold my hand Babylon Bizzy Okay, yo Uh, uh Jaydee {Verse 1: Lady Jaydee} Kupendwa raha bana Hata mikunjo kunjo kwa
Lady Jay Dee - Don't Give Up On Me {Intro} Lalala Lalala, la Lalala Lalala, la Lalala Lalala, la Lalala Lalala, ooh {Verse 1} Please don't give up on me,
Lady Jay Dee
Judith Wambura Mbibo, better known by her stage name Lady Jaydee, is a Tanzanian singer.