Lady Jay Dee - Umuhimu

To Rate
Intro: Lady Jaydee
Yeah
Jaydee
Woah, woah
Mm-mh

Verse 1: Lady Jaydee
Ilikuwa mi nakuletea maringo
Nayo majivuno niliweka mbele
Sikuona umuhimu wako
Nilihisi kelele
Ulipo sema, unanipenda
Mi nilipuuza
Ulipo amua, kuondoka
Nikaanza tapatapa, ooh
Nimechelewa
Huwezi kurudi tena
Nashindwa hata kuelewa
Nahitaji kueleweshwa
Ooh, ooh
Ooh, my baby

Chorus: Lady Jaydee
Sasa naona (Hey, hey)
Umuhimu wako (Ooh, ooh)
Wakati wewe 'uko mbali, mbali nami
Nakumbuka maneno yako
Natamani wewe ungekuwa nami
Sasa naona
Umuhimu wako (Ooh, ooh)
Wakati wewe uko mbali, mbali nami
Nakumbuka maneno yako (Kabisa)
Natamani wewe ungekuwa nami
Verse 2: Lady Jaydee
Wasikia kilio changu, ’mbona u kimya?
Sitarudia vituko, nitakuwa wako
Nahitaji msamaha wako
Unisamehe
Ooh
Nisamehe, unisamehe
Kwanini wewе umeondoka?
Mwenzio nina tapatapa
Ooh
Nimechеlewa
Huwezi kurudi tena
Nashindwa hata kuelewa
Nahitaji kueleweshwa
Ooh, ooh
Yeah, ay, yeah, yeah

Chorus: Lady Jaydee
Sasa naona (Naona)
Umuhimu wako
Wakati wewe 'uko mbali, mbali nami (U mbali nami)
Nakumbuka maneno yako
Natamani wewe ungekuwa nami
Sasa naona (Naona sasa)
Umuhimu wako
Wakati wewe uko mbali, mbali nami
Nakumbuka maneno yako (Nakumbuka)
Natamani wewe ungekuwa nami
Verse 3: Juma Nature
Ripoti hii ifike kwanza kwa dingi mpaka matheri (Mpaka matheri)
(?) simu vingine mpenzi havina chaji (Havina chaji)
Wanakuzuga navyo ili mradi wapate wanacho hitaji (Uh)
Hao ni waongo wenye hila, washazoea ubakaji (Mama yangu)
Nili-mind sana kuishi nawe, si uongo
Kamwe siwezi kutanga, ni escape wadudu (Eh-enhe)
Marafiki ndio wamekuponza, waongo, hawafai hata kwa chungu (Poa)
Uliwaona wanacheka, zile ni njama za kukuteka
Kimawazo hata kifikra
Na sio wakukaribiana nao, waogope kama ukoma (Kama ukoma)
Kwa maana hao jamaa wanafiki, hawafai (Poa)
Wao wana wanacho taka (Poa) kutugombanisha tu (Poa)
Nini kinakutatiza ushindwe kupiga hata stori (Eh-enhe)
Nilikuambia "nakupenda" mtoto sogea karibu nami (Poa)
Kukumbuka kuwaepuka majirani zako, watani
Walio zoea kuvuruga makochi ya watu, hata wazima (Hata wazima)

Chorus: Lady Jaydee
Sasa naona (Yeah, yeah)
Umuhimu wako (Ooh, ooh)
Wakati wewe 'uko mbali, mbali nami (Uko mbali)
Nakumbuka (Nakumbuka)
Maneno yako (Oh, oh)
Natamani wewe ungekuwa nami (Oh, woah, woah, woah, woah)
Sasa naona
Umuhimu wako (Umuhimu wako)
Wakati wewe uko mbali, mbali nami
Nakumbuka maneno yako (Umekwenda)
Natamani (Umekwenda)
Wewe ungekuwa nami
Sasa naona (Woo!)
Umuhimu wako
(Yeah)
Wakati wewe (Wewe, wewe)
Wakati wewe ’uko mbali, mbali nami (Mbali, mbali, mbali)
Nakumbuka
Maneno yako
Natamani wewe ungekuwa nami (Yeah)
Sasa naona (Oh)
Umuhimu wako (Oh, baby, baby, baby)
Wakati wewe uko mbali, mbali nami
(Oh, oh)
Nakumbuka maneno yako (Ooh, oh)
Natamani
(Natamani sana wewe ungekuwa nami)

Comments

More Lady Jay Dee lyrics

Lady Jay Dee - Siku Hazigandi
Mmmh... Aiya yah yah yah yah yaah {Chorus} Yote mlosema, mlotenda nasahau Nasonga mbele Mangapi Yamesemwa mangapi nimeona Mmmh mliosema, aaah

Lady Jay Dee - I Found Love
I found love I found love Haya sio mapenzi this is magic I found love I found love Hata kueleza siwezi, this is magic Hizo I love you I love you too Tushavuka

Lady Jay Dee - Tangu Mwanzo
{Chorus: Lady Jaydee and Both} Tangu mwanzo Tangu mwanzo Kisa kilicho pelekea, mambo yote kuvurugika Visa tu vinajirudia, lakini kaa ukitambua Hii ni tangu

Lady Jay Dee - Chorus
Bongo, eh Bongo Dar-es-Salaam Utalia, lia, lia, lia Bongo Dar-es-Salaam Kaa chonjo, weh... Ndani ya Dar-es-Salaam Utalia, lia, lia, lia Bongo Dar-es-Salaam Kaa

Lady Jay Dee - Tufurahi
Mmm Nimeshachumia juani Nalia kivulini Silaha pesa mkononi Oh, yeah Biashara asubuhi, subuhi Mahesabu jioni Maswali ya nini? Hapa tuna toa,

Lady Jay Dee - Baby Love
{Intro} Mmm, baby love Baby love (?) Nishike baby love Niguse baby love Touch me, baby love Baby love Baby love Nishike baby love

Lady Jay Dee - Nyumbani
{Intro} (Daxo wa Chali) Unanipendezea nnapo tembea Ukitabasamu Mi napata raha, unanivutia ukiniangalia Dunia yangu 'ina kamilika Uwapo tu 'hapa

Lady Jay Dee - Lololo
{Intro} This is (?) Mmm Don't cry (?) Komando Jide {Chorus: Lady Jaydee} Wacha we Lololo Wacha we, 'wacha hizo Wacha

Lady Jay Dee - Kupendwa Raha
{Intro: Mr. Blue} Hold my hand Babylon Bizzy Okay, yo Uh, uh Jaydee {Verse 1: Lady Jaydee} Kupendwa raha bana Hata mikunjo kunjo kwa

Lady Jay Dee - Don't Give Up On Me
{Intro} Lalala Lalala, la Lalala Lalala, la Lalala Lalala, la Lalala Lalala, ooh {Verse 1} Please don't give up on me,

Lady Jay Dee

Judith Wambura Mbibo, better known by her stage name Lady Jaydee, is a Tanzanian singer.