Darassa - Leo

Copied!edit Lyrics
original text at lyrnow.com/1428044
(Classic Music)
(Abbah)

Hello its me again
Mr Burudani, take away the pain
Pole kwa kuchelewa si unajua foleni
Nawapa vidonge kutuliza complain

Kichwa, sijabeba kama pambo
Akili, nimetega kwenye chambo
Fullu, charge na fullu bundle
Ukileta usoo, unawekwa kando

Ana maseke ukitete
Muulize ila kama mapepe
Mtulize, sema naye

Oooh aaah eeeh
Oooh aaah eeeh

Kama uliibiwa cheche
Imekuwa kasheshe
Huwezi kuzuia mvua wacha inyeshe
Sema nao

Oooh aaah eeeh
Wadeseke
Oooh aaah eeeh
Utaua ua bure sijalala
Nimeficha tu makucha
Huku ndani ndo kwanza kumekucha
Vunja mifupa, waulize nani kaachiwa bucha

Leo, kama ni kishindo tingisha(leo)
Kama ni mzuka pandisha(leo)
Kama ni maji mwagika(leo)
Kama ni mnazi katika(leo)

Kama ni kishindo tingisha(leo)
Kama ni mzuka pandisha(leo)
Kama ni maji mwagika(leo)
Na kama ni mnazi katika(leo)

Kama pochi limechanika
Speaker zinakita
Mbona hapata chimbika leo, yeah yeah
Mamacita, take a picture tunahakikisha leo
(leo, leo, leo, leo)

Eeeh, waweke walete mpira kati
Nimeondoka kidogo tu vagaranti
Niko online, nataka kuchati
Am not finishing, am just getting started
Mazungumzo baada ya habari
Cheza mbali, maana hali sio shwari
Jichanganye kama kachumbari
Chumvi mpaka kwenye chai hii ya leo kali

Umebugi step ebu cheki cheki
If am not mistaken, umegeuza gazeti
Ukitaka kazi ya jeshi
Don't forget hakuna kuku petty petty

Ana maseke ukitete
Muulize ila kama mapepe
Mtulize, sema naye

Oooh aaah eeeh
Oooh aaah eeeh

Kama uliibiwa cheche
Imekuwa kasheshe
Huwezi kuzuia mvua wacha inyeshe
Sema nao

Oooh aaah eeeh
Wadeseke
Oooh aaah eeeh
Kama ni kishindo tingisha(leo)
Kama ni mzuka pandisha(leo)
Kama ni maji mwagika(leo)
Kama ni mnazi katika(leo)

Kama ni kishindo tingisha(leo)
Kama ni mzuka pandisha(leo)
Kama ni maji mwagika(leo)
Na kama ni mnazi katika(leo)

Kama pochi limechanika
Speaker zinakita
Mbona hapata chimbika leo, yeah yeah
Mamacita, take a picture tunahakikisha leo
(leo, leo, leo, leo)
 
0

Song Description:

edit soundcloud

SoundCloud:

edit soundcloud

More Darassa lyrics

Darassa - No Body
Classic music) Nobody loves you the way that i do Nobody can love you the way that i do yeah (baby nobody) Nobody loves me the way that i do Nobody can love you the way that

Darassa - Achia Njia
Wananitingisha sitingishiki Nimeng'ang'ania seati Hisia hazifichiki Kipenda roho unakula hata nyama mbichi Mapenzi yanashikanga ngangari Mapenzi yana nguvu ya

Darassa - Tofauti
Anatingisha sitigishiki Nimeng’a ang ania siti Hisia hazifichiki Kipenda roho utakula hata nyama nbichi Mapenzi yanashikaga ngagali Mapenzi yana nguvu ya hatari Moto wa

Darassa - Leo
(Classic Music) (Abbah) Hello its me again Mr Burudani, take away the pain Pole kwa kuchelewa si unajua foleni Nawapa vidonge kutuliza complain Kichwa,

Darassa - Tumepoteza
(Abbah) Ah, I swear to God for my life That I speak from my heart Ushawai kupenda Let me see your hands up (Classic Music) Ah, mwanga umeingia

Darassa - Relax
(Abbah) Wazee msilale mchaka mchaka Kimbiza dunia haina mipaka Ukiweka nia kuna njia utapata Kama unasubiria hakuna matata Mama hajalea maproso, No Kazaa

Darassa - Shika
Mguu pande mguu sawa Tembea, tembea Nataka uwanja nitambe Sogea, sogea Wako wapi wapambe? Ooh kapotea, potea Ngoma itambe hiyo Kidedea, kidedea

Darassa - Juju
Sio mapenzi ni juju Haya sio mapenzi ni juju(Juju) Angekuwa wimbo DJ angeurudia Kila mmoja angecheza Utamani kuimba na kuitikia Kama kinywaji unaongeza Rangi

Darassa - Yumba
Yumba eeh Yumba yaani Darassa na KondeBoy (255 Champion boy, Classic) Yumba, Yumba Aga nikiwind my beiby Jipinde pinde kama kama nyoka Pinda mgongo unibebe

Darassa - INFORMATION
INTRO Did your Mom not tell you, don't go play outside When the weather is bad ? !!! VERSE 1 Usipolala macho hauna chako umeuwawa Ukikimbia