Darassa - Shika

Copied!edit Lyrics
original text at lyrnow.com/1428055
Mguu pande mguu sawa
Tembea, tembea
Nataka uwanja nitambe
Sogea, sogea

Wako wapi wapambe?
Ooh kapotea, potea
Ngoma itambe hiyo
Kidedea, kidedea

Masharti ya mganga wameyakosea
Wamekuja kuzima kumbe wanachochea
Wanaopepea moto kolea kolea
Mizani mi ni wa kuchezea chezea

Zima redio mbao
Haiya, zima na mtandao
Haiya, sema nao piga bao
Haiya, sisi sio saa saizi yao

Vunja vibenge kimbiza mwenge kama desturi
Uso sawa wa kucheza umevalia msuli
Tatua gear razi utatuharibia shughuli
Miguu vizuri ulizia wananiitaga nguli

Kama unaimba, imba nikuitikie
Ngoma inanoga, kucheza mtu akupigie
Uchеke ulie, ishike iachiе
Zangu niambie, kaa chini utulie
Tumeishika, kamata sukuma
Tumeishika, kamata sukuma
Tumeishika, kamata sukuma
Tumeishika, kamata sukuma

Tumeishika(Shika)
Kamata(Kamata)
Shika(Shika)
Sukuma(Twende)

Tumeishika(Shika)
Kamata(Kamata)
Shika(Shika)
Sukuma(Twende)

Mbuzi kafungwa kwenye chuma cha reli
Boss kaamka chumba cha uskeli
Wanashaba baiskeli vipi sheli
Kiwanja hakiwezi ogopa matapeli

Ah survivor kwenye jungle commando
Ukimjua panya ukatafute pango
Endelea endelea kushikia bango
Tukuvue nguo, tunavua majingambo

Jembe la kulima, tifua tifua
Navua papa itakua kamba, dagaa, kibua
Mshike mshike segele langu unalijua
Ngoma inoge kelele zangu mpaka napasua
Panga pangua, ota otea
Ukitaka chukua, ngoja ngojea
Tokea, sogea, pokea, ongea
Ngoja usimuliwe na macho ya kujionea

Kama unaimba, imba nikuitikie
Ngoma inanoga, kucheza mtu akupigie
Ucheke ulie, ishike iachie
Zangu niambie, kaa chini utulie

Tumeishika, kamata sukuma
Tumeishika, kamata sukuma
Tumeishika, kamata sukuma
Tumeishika, kamata sukuma

Tumeishika(Shika)
Kamata(Kamata)
Shika(Shika)
Sukuma(Twende)

Shika(Shika)
Kamata(Kamata)
Shika(Shika)
Sukuma(Twende)

Mbuzi kafungwa kwenye chuma cha reli
Boss kaamka chumba cha uskeli
Wanashaba baiskeli vipi sheli
Kiwanja hakiwezi ogopa matapeli
 
0

Song Description:

edit soundcloud

SoundCloud:

edit soundcloud

More Darassa lyrics

Darassa - Kama Utanipenda
{Intro} Abba! (Classic Music) Mm Mm {Toto zile type} Uh {Verse 1: Darassa & Rich Mavoko} Mrembo njoo tujenge malengo

Darassa - INFORMATION
INTRO Did your Mom not tell you, don't go play outside When the weather is bad ? !!! VERSE 1 Usipolala macho hauna chako umeuwawa Ukikimbia

Darassa - Yumba
Yumba eeh Yumba yaani Darassa na KondeBoy (255 Champion boy, Classic) Yumba, Yumba Aga nikiwind my beiby Jipinde pinde kama kama nyoka Pinda mgongo unibebe

Darassa - Juju
Sio mapenzi ni juju Haya sio mapenzi ni juju(Juju) Angekuwa wimbo DJ angeurudia Kila mmoja angecheza Utamani kuimba na kuitikia Kama kinywaji unaongeza Rangi

Darassa - Shika
Mguu pande mguu sawa Tembea, tembea Nataka uwanja nitambe Sogea, sogea Wako wapi wapambe? Ooh kapotea, potea Ngoma itambe hiyo Kidedea, kidedea

Darassa - Relax
(Abbah) Wazee msilale mchaka mchaka Kimbiza dunia haina mipaka Ukiweka nia kuna njia utapata Kama unasubiria hakuna matata Mama hajalea maproso, No Kazaa

Darassa - Tumepoteza
(Abbah) Ah, I swear to God for my life That I speak from my heart Ushawai kupenda Let me see your hands up (Classic Music) Ah, mwanga umeingia

Darassa - Leo
(Classic Music) (Abbah) Hello its me again Mr Burudani, take away the pain Pole kwa kuchelewa si unajua foleni Nawapa vidonge kutuliza complain Kichwa,

Darassa - Tofauti
Anatingisha sitigishiki Nimeng’a ang ania siti Hisia hazifichiki Kipenda roho utakula hata nyama nbichi Mapenzi yanashikaga ngagali Mapenzi yana nguvu ya hatari Moto wa

Darassa - Achia Njia
Wananitingisha sitingishiki Nimeng'ang'ania seati Hisia hazifichiki Kipenda roho unakula hata nyama mbichi Mapenzi yanashikanga ngangari Mapenzi yana nguvu ya