Darassa - Achia Njia

Copied!edit Lyrics
original text at lyrnow.com/1428041
Wananitingisha sitingishiki
Nimeng'ang'ania seati
Hisia hazifichiki
Kipenda roho unakula hata nyama mbichi

Mapenzi yanashikanga ngangari
Mapenzi yana nguvu ya hatari
Moto wa kuotea mbali, kwisha habari
Nimeshazima gari
Waloshika mabangu wameingia mitini
Nakutana na ma dogo ya chini chini
Wanauliza napagawa na nini?

We unga unga mitambo mi niko hewani
Mambo yanaendaga na fani
Funga virago ya job huwezani
Bahari ikichafuka inakuja tsunami
Usipoelewa somo watu wanakupiga
Eehe nauliza majibu
Kupata heshima unachimba deepu
Ila ukitaka dharau ni very cheapu

Rudisha akili uliko azima
Huwezi kakutanisha milima
Tafuta kitu cha kujipima
Ukishindana na pombe unataka kuzima

Weka ushindani, fine, me I don't mind
Nauza sura mtaa people don't buy
And you know what? Sema bye bye
Haukai disco nimeingia masai

Chorus
Achia njia
Achia achia njia
Achia njia
Achia achia njia
Achia njia
Achia achia njia
Achia njia
Achia achia njia
Nashangaa mataa
Biashara hailipi unakataa
Hapana bana, me I don't like that
Usinijaribu kama nguo ya kuvaa
Na break it down

Haaa!
Macho juu macho chini chini
Vipi umepoteza hadi screeni
Kachekesha mr. Beani
Acha kuchimba watu chimba madini

Huo uchizi umekuanza lini?
Au umefuata mambo ya mjini?
Heee
Uliwaza nini?
Kaacha viwanja kaja kucheza relini

Chorus
Achia njia
Achia achia njia
Achia njia
Achia achia njia
Achia njia
Achia achia njia
Achia njia
Achia achia njia
 
0

Song Description:

edit soundcloud

SoundCloud:

edit soundcloud

More Darassa lyrics

Darassa - Kama Utanipenda
{Intro} Abba! (Classic Music) Mm Mm {Toto zile type} Uh {Verse 1: Darassa & Rich Mavoko} Mrembo njoo tujenge malengo

Darassa - INFORMATION
INTRO Did your Mom not tell you, don't go play outside When the weather is bad ? !!! VERSE 1 Usipolala macho hauna chako umeuwawa Ukikimbia

Darassa - Yumba
Yumba eeh Yumba yaani Darassa na KondeBoy (255 Champion boy, Classic) Yumba, Yumba Aga nikiwind my beiby Jipinde pinde kama kama nyoka Pinda mgongo unibebe

Darassa - Juju
Sio mapenzi ni juju Haya sio mapenzi ni juju(Juju) Angekuwa wimbo DJ angeurudia Kila mmoja angecheza Utamani kuimba na kuitikia Kama kinywaji unaongeza Rangi

Darassa - Shika
Mguu pande mguu sawa Tembea, tembea Nataka uwanja nitambe Sogea, sogea Wako wapi wapambe? Ooh kapotea, potea Ngoma itambe hiyo Kidedea, kidedea

Darassa - Relax
(Abbah) Wazee msilale mchaka mchaka Kimbiza dunia haina mipaka Ukiweka nia kuna njia utapata Kama unasubiria hakuna matata Mama hajalea maproso, No Kazaa

Darassa - Tumepoteza
(Abbah) Ah, I swear to God for my life That I speak from my heart Ushawai kupenda Let me see your hands up (Classic Music) Ah, mwanga umeingia

Darassa - Leo
(Classic Music) (Abbah) Hello its me again Mr Burudani, take away the pain Pole kwa kuchelewa si unajua foleni Nawapa vidonge kutuliza complain Kichwa,

Darassa - Tofauti
Anatingisha sitigishiki Nimeng’a ang ania siti Hisia hazifichiki Kipenda roho utakula hata nyama nbichi Mapenzi yanashikaga ngagali Mapenzi yana nguvu ya hatari Moto wa

Darassa - Achia Njia
Wananitingisha sitingishiki Nimeng'ang'ania seati Hisia hazifichiki Kipenda roho unakula hata nyama mbichi Mapenzi yanashikanga ngangari Mapenzi yana nguvu ya