Darassa - Tumepoteza

Copied!edit Lyrics
original text at lyrnow.com/1428045
(Abbah)

Ah, I swear to God for my life
That I speak from my heart
Ushawai kupenda
Let me see your hands up

(Classic Music)

Ah, mwanga umeingia gizani
Nyota yetu inafifia angani
Ndoto zetu zinaishia njiani
Mapenzi yetu yako mashakani
Mapenzi ya vikwazo mitihani
Kila mmoja anaumia ndani
Tulivyo anza mwanzo sikudhani
Kama yangepotelea hewani

Kwako nilijifunza kupenda
Sikuwa na pumzi ata ya kuhema
Kuwa na wewe mazoea yakajenga
Ukafanya nikuwaze kila sehemu ninayo kwenda

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo
Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?
Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewе tulikuwa handle
Yako wapi yale mapenzi yalе, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?

Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Ah, ule wakati hujui ushike wapi
Unafanya kitu moyo wako hautaki
Kujiuliza maswali, majibu hupati
Niya kutapa tapa kama mfa maji

Sometimes, hisia zinakudanganya
Unatanga na njia hujui la kufanya
Huwezi kukimbia unacho kipenda sana
Unabaki unaumia, akili inakuchanganya

Tunacheat wakati tunapendana
Tunapendana vipi tusipoaminiana
Mimi na wewe imebaki kuzoeana
Haya sio mapenzi, mapenzi ya kutesana
Mwanga umeingia gizani
Nyota yetu inafifia angani
Ndoto zetu zinaishia njiani
Mapenzi yetu yako mashakani

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo

Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?

Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo

Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?

Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Ule wakati hujui ushike wapi
Unafanya kitu moyo wako hautaki
Kujiuliza maswali, majibu hupati
Niya kutapa tapa kama mfa maji

Things ain't gonna be the same again
Mambo yalivyokuwa mimi nawe
Ibaki stori ya kusimulia mapenz
Mambo yalivyokuwa mimi nawe

Things ain't gonna be the same again
Mambo yalivyokuwa mimi nawe
Ibaki stori ya kusimulia mapenz
Oooh yeah eeh

Yako wapi? (ooh beiby)
Yako wapi?(yako wapi?)
Yoh yako wapi?(no no no no no)
Yako wapi? (oooh beiby)
(Abbah)
 
0

Song Description:

edit soundcloud

SoundCloud:

edit soundcloud

More Darassa lyrics

Darassa - Relax
(Abbah) Wazee msilale mchaka mchaka Kimbiza dunia haina mipaka Ukiweka nia kuna njia utapata Kama unasubiria hakuna matata Mama hajalea maproso, No Kazaa

Darassa - Shika
Mguu pande mguu sawa Tembea, tembea Nataka uwanja nitambe Sogea, sogea Wako wapi wapambe? Ooh kapotea, potea Ngoma itambe hiyo Kidedea, kidedea

Darassa - Juju
Sio mapenzi ni juju Haya sio mapenzi ni juju(Juju) Angekuwa wimbo DJ angeurudia Kila mmoja angecheza Utamani kuimba na kuitikia Kama kinywaji unaongeza Rangi

Darassa - Yumba
Yumba eeh Yumba yaani Darassa na KondeBoy (255 Champion boy, Classic) Yumba, Yumba Aga nikiwind my beiby Jipinde pinde kama kama nyoka Pinda mgongo unibebe

Darassa - INFORMATION
INTRO Did your Mom not tell you, don't go play outside When the weather is bad ? !!! VERSE 1 Usipolala macho hauna chako umeuwawa Ukikimbia

Darassa - Kama Utanipenda
{Intro} Abba! (Classic Music) Mm Mm {Toto zile type} Uh {Verse 1: Darassa & Rich Mavoko} Mrembo njoo tujenge malengo

Darassa - No Body
Classic music) Nobody loves you the way that i do Nobody can love you the way that i do yeah (baby nobody) Nobody loves me the way that i do Nobody can love you the way that

Darassa - Achia Njia
Wananitingisha sitingishiki Nimeng'ang'ania seati Hisia hazifichiki Kipenda roho unakula hata nyama mbichi Mapenzi yanashikanga ngangari Mapenzi yana nguvu ya

Darassa - Tofauti
Anatingisha sitigishiki Nimeng’a ang ania siti Hisia hazifichiki Kipenda roho utakula hata nyama nbichi Mapenzi yanashikaga ngagali Mapenzi yana nguvu ya hatari Moto wa

Darassa - Leo
(Classic Music) (Abbah) Hello its me again Mr Burudani, take away the pain Pole kwa kuchelewa si unajua foleni Nawapa vidonge kutuliza complain Kichwa,