Darassa - Juju

Copied!edit Lyrics
original text at lyrnow.com/1428058
Sio mapenzi ni juju
Haya sio mapenzi ni juju(Juju)

Angekuwa wimbo DJ angeurudia
Kila mmoja angecheza
Utamani kuimba na kuitikia
Kama kinywaji unaongeza

Rangi yake mavazi na shepu
Katikati ya mfupi na mrefu
Mi nadhania Mungu aliangalia
Akaumba mwanamke apendezeshe dunia

Ukisikia, sauti ya kukaa kichwani
Unavutia, malaika wa kupaa angani
Amazing, mwanamke wa kumweka ndani
Mwanamke wa kuspend money

Ale ale ale ale
Angekuwa wimbo Dj angeurudia
Ale ale ale ale
Na kila mmoja angecheza
Ale ale ale ale
Mr Dj angeurudia
Ale ale ale ale
Ale alе ale ale
Angekuwa wimbo Dj angеurudia
Ale ale ale ale
Na kila mmoja angecheza
Ale ale ale ale
Mr Dj angeurudia
Ale ale ale ale

Pita pita kwenye mitaa yao
Pita pita kwenye mitandao
Pozi picha na mambo kibao
Maisha yao tunasema nao

Mwanamke anafanya unachange
Hakuna binga wa kwenye mapenzi
Kuna wakati najibia
Asione kama namwangalia

Ni kama kajumba anavutia
Anapita kwenye njia(She a danger girl)
Mada nimezamia
Mi mwenyewe baharia

Ale ale ale ale
Angekuwa wimbo Dj angeurudia
Ale ale ale ale
Na kila mmoja angecheza
Ale ale ale ale
Mr Dj angeurudia
Ale ale ale ale
Ale ale ale ale
Angekuwa wimbo Dj angeurudia
Ale ale ale ale
Na kila mmoja angecheza
Ale ale ale ale
Mr Dj angeurudia
Ale ale ale ale

Oya eeh yeah eh yeah eh...

Eeh hanimudu nakunywa sumu
Umenirudisha shule vidudu
Umenifunga mdomo ni bubu
Nasema sio mapenzi ni juju, juju Bang!

Haya sio mapenzi ni juju
Sio mapenzi ni juju
Haya sio mapenzi ni juju
 
0

Song Description:

edit soundcloud

SoundCloud:

edit soundcloud

More Darassa lyrics

Darassa - Yumba
Yumba eeh Yumba yaani Darassa na KondeBoy (255 Champion boy, Classic) Yumba, Yumba Aga nikiwind my beiby Jipinde pinde kama kama nyoka Pinda mgongo unibebe

Darassa - INFORMATION
INTRO Did your Mom not tell you, don't go play outside When the weather is bad ? !!! VERSE 1 Usipolala macho hauna chako umeuwawa Ukikimbia

Darassa - Kama Utanipenda
{Intro} Abba! (Classic Music) Mm Mm {Toto zile type} Uh {Verse 1: Darassa & Rich Mavoko} Mrembo njoo tujenge malengo

Darassa - No Body
Classic music) Nobody loves you the way that i do Nobody can love you the way that i do yeah (baby nobody) Nobody loves me the way that i do Nobody can love you the way that

Darassa - Achia Njia
Wananitingisha sitingishiki Nimeng'ang'ania seati Hisia hazifichiki Kipenda roho unakula hata nyama mbichi Mapenzi yanashikanga ngangari Mapenzi yana nguvu ya

Darassa - Tofauti
Anatingisha sitigishiki Nimeng’a ang ania siti Hisia hazifichiki Kipenda roho utakula hata nyama nbichi Mapenzi yanashikaga ngagali Mapenzi yana nguvu ya hatari Moto wa

Darassa - Leo
(Classic Music) (Abbah) Hello its me again Mr Burudani, take away the pain Pole kwa kuchelewa si unajua foleni Nawapa vidonge kutuliza complain Kichwa,

Darassa - Tumepoteza
(Abbah) Ah, I swear to God for my life That I speak from my heart Ushawai kupenda Let me see your hands up (Classic Music) Ah, mwanga umeingia

Darassa - Relax
(Abbah) Wazee msilale mchaka mchaka Kimbiza dunia haina mipaka Ukiweka nia kuna njia utapata Kama unasubiria hakuna matata Mama hajalea maproso, No Kazaa

Darassa - Shika
Mguu pande mguu sawa Tembea, tembea Nataka uwanja nitambe Sogea, sogea Wako wapi wapambe? Ooh kapotea, potea Ngoma itambe hiyo Kidedea, kidedea