Darassa - INFORMATION

Copied!edit Lyrics
original text at lyrnow.com/1804155
INTRO

Did your Mom not tell you, don't go play outside

When the weather is bad ? !!!

VERSE 1

Usipolala macho hauna chako umeuwawa

Ukikimbia battle we sio commando ni coward

Uku kina cha bahari umezoea kuoga kwenye bwawa

Uku umekuja sayari haina kunguni haina chawa

Utapagawa manyanga madawa, ni Mungu anagawa ndio anayenipa power

Tuko kwenye rush hour, kutoka bila shower kula bila kunawa

BRIDGE

Ukijifanya rude mimi mwenyewe nimepinda jambazi Masudi
No Cash No Food Baba utakula hiyo Attitude

Ukiniletea Mood mimi ndio napendaga sana very good, very good

No Cash No Food hapa utakula hiyo Attitude

CHORUS

Oyaa We si unataka INFORMATION W.W.W download APPLICATION

Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download

APPLICATION

Oyaa Oyaa Oya We si unataka INFORMATIONS W.W.W download APPLICATION

Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download

APPLICATION

VERSE 2

Radio imemeza kanda
Hawana nyimbo washasanda

Kitumbua kimeingia mchanga

Mbona wata watabamba

Propеr proper ganda

Mara kimeshuka kimepanda

Kulеta pigo za kishamba

Moto moto pamba PUUH

BRIDGE

Ukijifanya rude mimi mwenyewe nimepinda jambazi Masudi

No Cash No Food Baba utakula hiyo Attitude

Ukiniletea Mood mimi ndio napendaga sana very good, very good

No Cash No Food hapa utakula hiyo Attitude

CHORUS

Oyaa We si unataka INFORMATION W.W.W download APPLICATION

Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download

APPLICATION

Oyaa Oyaa Oya We si unataka INFORMATIONS W.W.W download APPLICATION

Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download

APPLICATION
 
0

Song Description:

edit soundcloud

SoundCloud:

edit soundcloud

More Darassa lyrics

Darassa - Kama Utanipenda
{Intro} Abba! (Classic Music) Mm Mm {Toto zile type} Uh {Verse 1: Darassa & Rich Mavoko} Mrembo njoo tujenge malengo

Darassa - No Body
Classic music) Nobody loves you the way that i do Nobody can love you the way that i do yeah (baby nobody) Nobody loves me the way that i do Nobody can love you the way that

Darassa - Achia Njia
Wananitingisha sitingishiki Nimeng'ang'ania seati Hisia hazifichiki Kipenda roho unakula hata nyama mbichi Mapenzi yanashikanga ngangari Mapenzi yana nguvu ya

Darassa - Tofauti
Anatingisha sitigishiki Nimeng’a ang ania siti Hisia hazifichiki Kipenda roho utakula hata nyama nbichi Mapenzi yanashikaga ngagali Mapenzi yana nguvu ya hatari Moto wa

Darassa - Leo
(Classic Music) (Abbah) Hello its me again Mr Burudani, take away the pain Pole kwa kuchelewa si unajua foleni Nawapa vidonge kutuliza complain Kichwa,

Darassa - Tumepoteza
(Abbah) Ah, I swear to God for my life That I speak from my heart Ushawai kupenda Let me see your hands up (Classic Music) Ah, mwanga umeingia

Darassa - Relax
(Abbah) Wazee msilale mchaka mchaka Kimbiza dunia haina mipaka Ukiweka nia kuna njia utapata Kama unasubiria hakuna matata Mama hajalea maproso, No Kazaa

Darassa - Shika
Mguu pande mguu sawa Tembea, tembea Nataka uwanja nitambe Sogea, sogea Wako wapi wapambe? Ooh kapotea, potea Ngoma itambe hiyo Kidedea, kidedea

Darassa - Juju
Sio mapenzi ni juju Haya sio mapenzi ni juju(Juju) Angekuwa wimbo DJ angeurudia Kila mmoja angecheza Utamani kuimba na kuitikia Kama kinywaji unaongeza Rangi

Darassa - Yumba
Yumba eeh Yumba yaani Darassa na KondeBoy (255 Champion boy, Classic) Yumba, Yumba Aga nikiwind my beiby Jipinde pinde kama kama nyoka Pinda mgongo unibebe