Darassa - INFORMATION
Did your Mom not tell you, don't go play outside
When the weather is bad ? !!!
VERSE 1
Usipolala macho hauna chako umeuwawa
Ukikimbia battle we sio commando ni coward
Uku kina cha bahari umezoea kuoga kwenye bwawa
Uku umekuja sayari haina kunguni haina chawa
Utapagawa manyanga madawa, ni Mungu anagawa ndio anayenipa power
Tuko kwenye rush hour, kutoka bila shower kula bila kunawa
BRIDGE
Ukijifanya rude mimi mwenyewe nimepinda jambazi Masudi
No Cash No Food Baba utakula hiyo Attitude
Ukiniletea Mood mimi ndio napendaga sana very good, very good
No Cash No Food hapa utakula hiyo Attitude
CHORUS
Oyaa We si unataka INFORMATION W.W.W download APPLICATION
Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download
APPLICATION
Oyaa Oyaa Oya We si unataka INFORMATIONS W.W.W download APPLICATION
Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download
APPLICATION
VERSE 2
Radio imemeza kanda
Hawana nyimbo washasanda
Kitumbua kimeingia mchanga
Mbona wata watabamba
Propеr proper ganda
Mara kimeshuka kimepanda
Kulеta pigo za kishamba
Moto moto pamba PUUH
BRIDGE
Ukijifanya rude mimi mwenyewe nimepinda jambazi Masudi
No Cash No Food Baba utakula hiyo Attitude
Ukiniletea Mood mimi ndio napendaga sana very good, very good
No Cash No Food hapa utakula hiyo Attitude
CHORUS
Oyaa We si unataka INFORMATION W.W.W download APPLICATION
Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download
APPLICATION
Oyaa Oyaa Oya We si unataka INFORMATIONS W.W.W download APPLICATION
Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download
APPLICATION
Song Description:
edit soundcloudSoundCloud:
edit soundcloudMore Darassa lyrics
Darassa - Kama Utanipenda
{Intro} Abba! (Classic Music) Mm Mm {Toto zile type} Uh {Verse 1: Darassa & Rich Mavoko} Mrembo njoo tujenge malengo
Darassa - No Body
Classic music) Nobody loves you the way that i do Nobody can love you the way that i do yeah (baby nobody) Nobody loves me the way that i do Nobody can love you the way that
Darassa - Achia Njia
Wananitingisha sitingishiki Nimeng'ang'ania seati Hisia hazifichiki Kipenda roho unakula hata nyama mbichi Mapenzi yanashikanga ngangari Mapenzi yana nguvu ya
Darassa - Tofauti
Anatingisha sitigishiki Nimeng’a ang ania siti Hisia hazifichiki Kipenda roho utakula hata nyama nbichi Mapenzi yanashikaga ngagali Mapenzi yana nguvu ya hatari Moto wa
Darassa - Leo
(Classic Music) (Abbah) Hello its me again Mr Burudani, take away the pain Pole kwa kuchelewa si unajua foleni Nawapa vidonge kutuliza complain Kichwa,
Darassa - Tumepoteza
(Abbah) Ah, I swear to God for my life That I speak from my heart Ushawai kupenda Let me see your hands up (Classic Music) Ah, mwanga umeingia
Darassa - Relax
(Abbah) Wazee msilale mchaka mchaka Kimbiza dunia haina mipaka Ukiweka nia kuna njia utapata Kama unasubiria hakuna matata Mama hajalea maproso, No Kazaa
Darassa - Shika
Mguu pande mguu sawa Tembea, tembea Nataka uwanja nitambe Sogea, sogea Wako wapi wapambe? Ooh kapotea, potea Ngoma itambe hiyo Kidedea, kidedea
Darassa - Juju
Sio mapenzi ni juju Haya sio mapenzi ni juju(Juju) Angekuwa wimbo DJ angeurudia Kila mmoja angecheza Utamani kuimba na kuitikia Kama kinywaji unaongeza Rangi
Darassa - Yumba
Yumba eeh Yumba yaani Darassa na KondeBoy (255 Champion boy, Classic) Yumba, Yumba Aga nikiwind my beiby Jipinde pinde kama kama nyoka Pinda mgongo unibebe
YouTube
Darassa
![Darassa](/img_id/468613.jpg?salt=08)